mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Tuesday, December 10, 2013

CHAKULA CHA MGONJWA CHAMPONZA NESI!

NESI mmoja aliambiwa ahudumiwe mgonjwa, akaachiwa maagizo kuwa ikifika saa nane ampe chakula. Yule nesi kabla ya kufika saa nane akala yeye kile chakula cha mgonjwa na ilipofika saa nane kasoro, yule ndugu akapiga simu akasema ikifika muda wa kula umlazimishe huyo mgonjwa ale hicho chakula ndani ya hicho chakula kuna sumu tumekubaliana wanafamili kuwa afe kwa sababu hatuna pesa za kumpeleka India.
Nesi kusikia hivyo akazimia hapohapo.

No comments:

Post a Comment