mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Saturday, December 28, 2013

UONGO MWINGINE BWANA..!

Jamaa alikuwa ana tabia ya kukojoa kitandani baadhi ya siku.
Akafikia kuoa. Katika ya siku za mwanzo baada ya harusi, siku moja kama kawaida yake alijikojolea.
Akapiga kelele “Mungu wangu eee”.
Mke wake akashtuka, akamuuliza: Vipi mume wangu?
Mume: Hivi mke wangu ungeota unataka kuliwa na mamba, chui na simba kwa wakati mmoja ungefanyaje?
Mke: Ningezimia kabisa.                                                                                                                                               
Mume: Basi mwenzio sijazimia nimejikojolea


No comments:

Post a Comment