mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Sunday, January 12, 2014

HATA MIMI SIJUI!

Jamaa alikua anapiga chabo kwenye pepa kutoka kwa mwanafunzi aliyekaa
mbele yake. lakini mwalimu aligundua wakati akisahisha mitihani hiyo.
je unajua ni kipi kilimfanya ticha ashtukie? swali la kwanza hadi la 3 jamaa alikopi vizuri kama alivyoandika
mwenzie, kimbembe kikaja swali la 4 ambapo mwenzake akajaza 'sijui' jamaa alipoona hivyo nae akajaza ''hata mimi sijui''

No comments:

Post a Comment