mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Wednesday, January 01, 2014

KAZINI WANANIITA ELIZABETH..!

Familia moja ilivamiwa na majambazi, ambao walipanga kuwaua wote lakini kabla ya kuwaua waliwauliza majina yao kwanza.
Jambazi: Wee unaitwa nani? Walianza kumuuliza mwanamke.
Mke: Naitwa Elizabeth
Jambazi: Umesalimika maana jina lako ni kama la mama yangu.
Jambazi: Eeeh! Na wewe? Walimuuliza mwanaume.
Mume: Naitwa John lakini kazini wananiita. Elizabeth.

No comments:

Post a Comment