Mtoto mmoja alitoa kali ya mwaka baada ya kutumwa na mama yake aende
dukani akununue kiberiti. Baada ya kurudi nyumbani, mama yake alimuuliza:
MAMA: Umeisha nunua hicho kiberiti?
MTOTO: Ndiyo mama.
MAMA; Umehakikisha ni kizima?
MTOTO; Ndiyo mama, nimezijaribu njiti zote zimewaka.
MAMA; Haa! Mwanangu sasa tutawashia nini kama umewasha njiti zote?
MTOTO: Mama ningejuaje kama njiti ni nzima bila kuziwasha?
Mh! Mama alikosa cha kuzungumza akabaki kutikisa kichwa.
No comments:
Post a Comment