mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Friday, January 10, 2014

"WALIKUWA HAWAJUI KAMA NIMEVAA KONDOMU..!"



KACHICHI alikuwa kwenye basi na abiria wengi mara majambazi wakavamia wakawaambia abiria usipotoa pesa unachomwa sindano ya damu ya ukimwi,Watu wakatoa lakini KACHICHI akakataa kutoa akachomwa sindano.Abiria wenzie wakamuuliza mbona umekubali kuchomwa ile sindano? KACHICHI akajibu "WALIKUWA HAWAJUI KAMA NIMEVAA KONDOMU..!"
ABIRIA; mama weeeeeeeee..!!

No comments:

Post a Comment