mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Wednesday, February 26, 2014

HIVI NDIO SIMU ZA SCREEN TOUCH ZINAVYOSUMBUA WATU

Hizi touch screen zinavyosumbua watu mdada kanunua simu mpya Screen touch
Mdada: Bebi mambwo?
Jamaa: Poa nambie
Mdada: Vipw umelalwa?
Jamaa: Unasemaje?
Mdada: Nauliza umelwala?
Jamaa: Mmmmmh..! sijalala baby hata usingizi sina
Mdada: Mim menyew cjalwala kuma mijitu inapiga kelelwe hapa nje kwetu hadi inaboowa
Jamaa! Nini?
Mdada: kuna kelwele hapa nje ya numba yetu usingizwi hakuna kabiswa
Jamaa: hahahaa pole baby
Mdada: Bwebi mbona unanichekwa sasa?
Jamaa: Jaribu kuandika vizuri hunny
Mdada: Hehehwehwe,si unajuwa cmu mupya halafu sikirini tachi kila nikibinya elufi hii inakunya na nyingine. Pwelo bebwi wangu 

Jamaa: enheeeee poa baby

No comments:

Post a Comment