mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Wednesday, February 26, 2014

KWA HIYO HII SIMU UNANIPIGIA UKIWA WAPI?

JOHN: kafungua gazeti kakuta tangazo kuwa amekufa, akampigia simu rafiki yake mpenzi PASCAL, 
JOHN: Aisee umesoma gazeti la leo? Wanasema eti nimekufa jana huko mwanza, aisee inasikitisha. 
PASCAL: Ndio nimesoma pole sana bwana, kwa hiyo hii simu unanipigia ukiwa wapi saa hizi, mbinguni au kaburini? hivi uliondoka na ile simu yako ya nokia au Samsung?

No comments:

Post a Comment