MLEVI 1:Niambie ukweli, wewe ni kama ndugu yangu, hivi kwa nini watu wa mtaa huu wanamfuatafuata sana mke wangu?
MLEVI 2: Unasikia braza mi nitakwambia ukweli. Mkeo ana matatizo hajui kiswahili vizuri
MLEVI 1: Toka lini? Mke wangu anajua kiswahili vizuri sana
MLEVI 2: Kwa kweli braza mke wako anajua maneno mengine ya kiswahili lakini hajui neno hapana.
MLEVI 1: mamaaaaa..!
No comments:
Post a Comment