Jamaa
alikuwa anafanya kazi mochwari, siku hiyo akaamka na bonge ya homa,
akaenda na mkewe hospitali wakati anapimwa damu na nesi, mkewe akaona itakuwa
vizuri kutaarifu kazini kwake kuwa anaumwa akamuuliza mumewe;
MKE: Vipi niwataarifu mochwari?
NESI: Ehe..! mwanamke una roho mbaya wewe, ondoa uchuro wako kwani mumeo kafa?
MKE: Vipi niwataarifu mochwari?
NESI: Ehe..! mwanamke una roho mbaya wewe, ondoa uchuro wako kwani mumeo kafa?
MKE: mochwari ni kazini kwake
NESI: enheee..!
No comments:
Post a Comment