Jamaa wako kwenye kikao cha harusi,pembeni yao kuna jamaa anasoma gazeti
huku anacheka kwa
sauti kiasi kwamba anavuruga
tension kwenye
kikao,mwenyekiti akaamua kwenda kumuomba jamaa apunguze sauti na jamaa
akawaelewa.baada ya muda jamaa akaanza
kutetemeka kwa nguvu kama mtu
mwenye malaria, mwenyekiti kuona vile akamfata tena na kumuuliza;kijana
vipi mbona unatetemeka hivyo kulikonii? Jamaa akajibu
''hapana niko
sawa,nimeamua kucheka kivibration ili nisiwasumbue'',mwenyekiti hoii,
No comments:
Post a Comment