Kuna baba na mke wake walitoa kali ya mwaka baada ya kwenda hospitali
wakiwa uchi kama walivyo zaliwa" daktari akauliza nyinyi mbona mnakuja
uchi,machizi nini" baba akajibu
tuna mwaka wa 10 hatuna mtoto. tukasikia
mficha uchi hazai"ndiyo tukatembea uchi leo siku ya 3. sasa leo nimemleta mke wangu
umpime kama kashapata mimba.
No comments:
Post a Comment