Demu
mkaliiii alikaa na mzee kwenye daladala siti ya nyuma, mzee kavaa viatu
vinatema kishenzi (vinanuka) demu kashindwa kuvumilia na kuropoka, "wee mzee ni
VIATU vyako vinanuka au?" Mzee akamjibu akasema, "Hapana hebu angalia
CHUPI yako labda iko upande mjukuu wangu!"
Yule demu kimyaaaa.
Chezea Wazee wa mjini wewe.
No comments:
Post a Comment