mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Saturday, March 29, 2014

AMA KWELI UALIMU NI KAZI YA WITO

Ama kweli UALIMU kazi ya wito MWANAFUNZI mmoja hajui hesabu za kujumlisha wala kutoa Mwalimu katumia njia zote kumuelimisha lakini wapi Ikabidi ajaribu njia hii 
Mwalimu: Kwenu mnafuga nini?
Mwanafunzi: Kuku na mbuzi.

Mwalimu: Mbuzi mnao wangapi?
Mwanafunzi: 25
Mwalimu: Mbuzi 25 toa mbuzi 5 watabakia wangapi?
Mwanafunzi: Unawajua mbuzi wetu, au unawasikia? Ukimtoa mmoja tu wote wanatoka.

No comments:

Post a Comment