mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Thursday, March 13, 2014

BASI SIENDI SEMINA SASA FURAHI WEWE..!

JAMAA  mmoja alimuaga mkewe mlokole kuwa anaenda semina ya wiki moja  mji mwingine, kumbe anataka kwenda kunyoosha mgongo na kichenchede chake. Mke akamwambia mumewe tupige magoti tusali, wakapiga magoti
MKE: Ee baba msaidie mume wangu afike salama safari yake
MUME: Emen
MKE: Mpe nguvu katika yote atakayofanya huko
MUME: Emen
MKE: Akitaka kufanya uzinzi ashindwe
MUME:....(kimya)
MKE: Akifanya uzinzi apatwe na ugonjwa ya zinaa au afumaniwe
 MUME:...(kimya)
MKE: Yaani akifanya uzinzi afie huko huko ili niishi kwa amani
MUME: Maombi gani hayo ya kishenzi basi siendi semina sasa furahi wewe..!

No comments:

Post a Comment