mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Saturday, March 29, 2014

FRIJI INAUZWA LAKI 3

Jamaa alinunua friji jipya, akawaza namna ya kuondokana na lile la zamani, basi akaliweka nje ya nyumba yake na kuandika kibao ANAYETAKA KUCHUKUA ACHUKUE BURE, watu wakawa wanapita wanafungua lakini kila mtu akawa anaogopa kuchukua maana hakuna aliyeamini mtu anaweza akagawa friji zima bure. Baada ya kuona wiki imepita halijachukuliwa, akaandika FRIJI INAUZWA LAKI 3, usiku uleule likaibiwa

No comments:

Post a Comment