mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Friday, March 28, 2014

JUMA KWELI WE" JINIAZ

Mwalimu wa darasa wa juma aliwaambia wanafunzi kuwa atawauliza swali kila mmoja na atakayejibu swali ataondoka nyumbani.juma kusikia hvyo akachukua begi lake akalitupa dirishani.mwalimu akauliza
MWALIMU: nani katupa begi.
JUMA: "mimi" halafu huyo akaondoka
MWALIMU: dah..! juma kweli we jiniaz

No comments:

Post a Comment