mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Wednesday, March 12, 2014

KUMBE ULIKUWA UNALETA MAIGIZO HAPA

Jamaa kachukua changudoa kaingia nae gest. Katikati ya shughuli changu kapiga kelele na kuzimia. Wakati jamaa kapanik hajui afanyeje simu ya changu ikaita, jamaa akapokea..
SAUTI: Haloo..! sikiliza huyo demu uliyemkaba mpaka akazimia ni mtoto wa Mzee mmoja mjeshi, akifa utaipata
JAMAA: Lakini mie sijamfanya kitu, ilikuwa ni mambo yetu tu
SAUTI: Sawa hiyo stori utawambia polisi ngoja niwataarifu
JAMAA: Ngoja kwanza rafiki nisaidie hii ishu
SAUTI: Nitumie laki mbili, tena naweza kukusubiri hata uende ATM, unajua mie ni mfanyabiashara sina haraka.
JAMAA: Sikiliza hata mie ni mfanyabiashara, nawajua jamaa wachuna ngozi, nikiwauzia mwili fresh kama huu watanilipa milioni mbili we utachukua milioni yako safi..........ghafla changudoa akazinduka
CHANGU: Mshenzi mkubwa nani achunwe ngozi
JAMAA: kumbe ulikuwa unaleta maigizo hapa

No comments:

Post a Comment