mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Saturday, March 29, 2014

UTAVAA HIVYO VIATU MPAKA MWAKANI

Kuna jamaa moja alikua bahili sana, mkewe akawa anatamani kununuliwa kitu na mumewe.
 siku moja, mkewe akasema ngoja nitumie njia ya kumdanganya  pengine ataninunulia, akamwambia 
Mke: mume wangu jana nimeota umeninunulia viatu,
Mume:hata mimi nmeota utavaa hivyo viatu mpaka mwakani,

No comments:

Post a Comment