mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Tuesday, April 15, 2014

BASI TENA BYE KWA LEO

MKAKA:Hello baby unaiona hii hali ya hewa? MDADA: Yaanii MKAKA: Mi nawasha gari nakuja kwako Baby MDADA: Aise nitafurahi, lakini si unajua leo tarehe ngapi? Siko vizuri,  MKAKA: Kivipi? MDADA: Niko kwenye siku zangu MKAKA: Dah..! aisee nilisahau jana nilivyopaki gari kumbe mafuta yalikuwa yameisha kabisaa na sina hela  MDADA: Nakutumia kidogo kwenye  m-Pesa MKAKA: Nilisikia kuna kitu kinagonga kwenye injini nadhani injini imenoki. Its ok ntakuja siku nyingine MDADA: Unajua nini hata mimi sio kwamba niko kwenye siku zangu ila tarehe zenyewe ndio hizi. MKAKA: Ahaaaa..!  ok basi nitajitahidi niazime gari kwa rafiki yangu nije MDADA: Ok pitia pharmacy uniletee na towels kinaweza tokea kitu muda wowote MKAKA: Huyu jamaa nimempigia hapokei simu sijui kwa nini. Basi tena bye kwa leo.

No comments:

Post a Comment