mshamu na pacha wake kapanya waliingia kwenye bucha;
mshamu: Naomba lita moja ya kuku wa kizungu......watu waliokuweko walipigwa butwaa kidogo kisha wakaanza kucheka kwa nguvu.kapanya nae akaanza kucheka mpaka machozi yakamtoka
mshamu: Sasa na wewe kapanya unanicheka mwenzio kwa kosa gani?
kapanya: Nacheka kwa kuwa umeomba lita moja ya kuku, sasa huoni tumesahau kuchukua chupa, Tutawekea wapi?
watu wote ahaaaaaaaa..! kumbe wanafanana mpaka umbumbumbu.
mshamu: Naomba lita moja ya kuku wa kizungu......watu waliokuweko walipigwa butwaa kidogo kisha wakaanza kucheka kwa nguvu.kapanya nae akaanza kucheka mpaka machozi yakamtoka
mshamu: Sasa na wewe kapanya unanicheka mwenzio kwa kosa gani?
kapanya: Nacheka kwa kuwa umeomba lita moja ya kuku, sasa huoni tumesahau kuchukua chupa, Tutawekea wapi?
watu wote ahaaaaaaaa..! kumbe wanafanana mpaka umbumbumbu.
No comments:
Post a Comment