mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Tuesday, May 13, 2014

AISEEEEE...!!! KUCHEKI MPIRA NA MWANAMKE NI KAZI KWELI KWELI

 (ARSENAL vs BAYERN MUNICH)
Demu; Baby kwani leo nani na nani..??
Jamaa; Arsenal na Bayern Munich....
Demu: Baby yule jamaa ni CHRIS BROWN?
Jamaa: Hapana anaitwa ALEX CHAMBERLAIN.....
Demu: Hee.. Ile kadi ya njano ni ya nini?
Jamaa: Ni onyo tu, akipewa nyekundu anatoka Demu: Na ya kijani je?
Jamaa: Hamna kitu kama hicho
Demu: Nataka arsenal washinde KOMBE LA DUNIA leo.....
Jamaa: (kimya)
Demu: Yule mzee ni nani?..kafanana na MR.BEAN

Jamaa: ....ARSENE WENGER......
Demu: ok. Kwa hiyo na yule mwingine ni BAYERN WENGER?

No comments:

Post a Comment