mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Monday, May 12, 2014

EHE..! KUDAADEKI

MGONJWA : Dokta mi mbaya  
DOKTA: Si kweli mi nakuona uko fresh tu 
MGONJWA : Lakini kila mtu ananicheka na miaka yote wanasema mi mbaya   DOKTA: Sikiliza nakuhakikishia kuwa wewe unavutia 
MGONJWA:Dokta najua unanifariji tu lakini kiukweli najijua mi mbaya   DOKTA:Achana na maneno ya watu we mwanaume rijali kabisa unafaa hata kwenye matangazo ya mwanaume wa ukweli
MGONJWA:Dokta mi mwanamke  bwana 
DOKTA: Ehee..! kudaadeki

No comments:

Post a Comment