Kuna
vichaa wawili walikuwa kimya ndani ya hospitali ya vichaa hadi dokta akahisi
wamepona dokta
akawaita nje.
DOKTA: Hivi nikikupa ndizi utaifanyaje?
KICHAA 1: Nitasema asante nitaimenya nitakula maganda natupa jalalani.
dokta akamuuliza na yule kichaa wa pili
DOKTA: hivi nikikupa baiskeli utafanyaje?
KICHAA 2: Nitasema asante nitaimenya nitakula maganda natupa jalalani
DOKTA: huyu hajapona mrudisheni ndani yule mwenzie amepona aende nyumbani.
akawaita nje.
DOKTA: Hivi nikikupa ndizi utaifanyaje?
KICHAA 1: Nitasema asante nitaimenya nitakula maganda natupa jalalani.
dokta akamuuliza na yule kichaa wa pili
DOKTA: hivi nikikupa baiskeli utafanyaje?
KICHAA 2: Nitasema asante nitaimenya nitakula maganda natupa jalalani
DOKTA: huyu hajapona mrudisheni ndani yule mwenzie amepona aende nyumbani.
No comments:
Post a Comment