mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Tuesday, May 27, 2014

MI NATAKA KUOLEWA NA JAMES

Ticha kaingia darasani akaanza kuuliza wanafunzi wakiwa wakubwa wanataka kuwa nani akaanza na james
ticha: james ukiwa mkwa unataka kuwa nan?
james: nataka kuwa tajiri mwenye pesa nyingi,magari ya kifahari, nyumba nzuri na niishi marekani
ticha: haya hongera, na wewe mary ukiwa mkubwa unataka kuwa nani?
Mary: mi nataka kuolewa na james.
Wanafunzi na mwalimu wao wote wakaangua kicheko...!

No comments:

Post a Comment