mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Tuesday, May 13, 2014

MI NILIDHANI BADO UPO UFARANSA

Chizi wawili walikua wamekaa pamoja, mmoja akamwambia mwenzake: Leo nimeota niko UFARANSA,yule mwenzake akasema: na mi leo nimeota nimewaalika watu kwangu waje kula biriani. Yule chizi wa kwanza akahamaki sana akamwambia mwenzake'' Mbona hujanialika na mimi''? Chizi mwenzake akamjibu: mi nlidhani bado upo UFARANSA.

No comments:

Post a Comment