mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Friday, May 02, 2014

SIJAONA BAISKELI SIKU NYINGI SANA

Babu mmoja mwenye heshima alipita mtaa fulani akakuta vijana wamejipanga barabarani kwa furaha babu ikambidi aulize:
BABU: Kuna nini tena hapa vijana?
KIJANA: Babu tumeambiwa kuna mwanamke mmoja supastaa atapita mtaa huu anaendesha baiskeli bila kuvaa hata kipande cha nguo.
BABU: Dah..! ngoja na mie ningoje unajua sijaona baiskeli siku nyingi sana.

No comments:

Post a Comment