mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Thursday, June 05, 2014

LAKINI UNA UHAKIKA MUUAJI YUPO DARASA HILI?

Mwalimu mpya wa Historia kabla ya kuanza kufundisha alitaka kuwapima uwezo wanafunzi kwa Kuwauliza swali kama ifuatavyo.
Mwalimu: Eeehe..  Ni Nani Aliyemuua Chifu Mkwawa?
Mwanafunz 1: Aka Siyo Mimi..!
wa 2: Wallah...Sihusiki..!
wa 3: Kwanza Me Jana sikuja Shule!
Mwalimu Alipoona Wanafunzi Wote ni wajinga kabisa akaamua kumuita mkuu wa Shule aje kushuhudia ujinga wa wanafunzi wake,akampa lile swali mkuu wa shule ili akawaulize wanafunzi, Mkuu Wa Shule Alipoenda akawauliza Lile Swali "kwa vitisho" Mambo Yakawa Vile vile. Ndipo Alipomuita Mwalimu Pembeni na kumnong'oneza "Lakini una uhakika muuaji yupo darasa hili?"

No comments:

Post a Comment