mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Wednesday, July 16, 2014

MAMA MBWA NAULI YANGU



kuna mama mmoja alikuwa amezoea kumtukama mtoto wake "Mbwa we" sasa siku moja walikuwa wanawahi daladala, yule mama akamwambia yule mtoto wake "we mbwa hebu tembea tutaachwa na daladala, Yule konda wa daladala akawa amesikia, akauchuna kimya. sasa wakati wa kudai nauli akawadai wote alipomfikia yule mama akamwambia we MAMA MBWA NAULI YANGU.wacha mama wa watu aje juu

No comments:

Post a Comment