Nyani alikuwa anapita karibu na kisima cha maji akamkuta simba kainama
anakunywa maji! Nyani kwa uhuni wake akamnyatia simba akambaka,
alipomaliza akamsukumia kisimani akakimbia, alijua simba akitoka huko
kuna kimbembe kitatokea, katika kimbia yake akamkuta mzee mmoja kavaa
kofia kakaa kwenye kigoda anasoma gazeti maarufu la udaku! Akamtisha mzee
wa watu, mzee akakimbia akadondosha gazeti na kofia, nyani akaivaa
kofia akakaa kwenye kigoda nae akaanza kujifanya anasoma gazeti. Simba
akatokea huku akiwa kachukia sana
Simba: Oyaa umemuona nyani mmoja kapita hapa?
Nyani: Yupi? Huyo aliyembaka simba kisimani?
Simba: Ayaaa usiniambie kumbe imeshaandikwa.mpaka kwenye magazeti ya udaku!
No comments:
Post a Comment