mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Saturday, September 27, 2014

SIMBA SABA NA CHUI WA TATU..!!

JOHN: alikuwa analala darasani wakati
mwalimu anafundisha!
MWALIMU: We John kwanini unalala
wakati mi nafundisha?
JOHN: Unajua mwalimu sauti yako
nzuri ndio maana nikalala!
MWALIMU: Sasa mbona wenzako
hawajalala?
JOHN: Kwa sababu wao hawakusikilizi!!
MWALIMU:
Haya nitajie wanyama kumi wa pori...
JOHN: Aaaah! uliza swali lingine bhana
hilo siwezi kujibu ni rahisi mno!
MWALIMU:
Jibu kwanza hilo kama ni
rahisi!
JOHN: Simba saba na Chui watatu...!!

No comments:

Post a Comment