mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Sunday, October 12, 2014

MUKINIRETEA UCHI WA MOTO NITACHARIBU KIDOGO.



Binti wa Kizaramo Bi kidawa aliolewa na na Chacha, Mkurya safi wakawa wanaishi Musoma kwa mapenzi ya hali ya juu. Siku moja wakaamua kuja Kisarawe kuwasalimu wazazi wa bi kidawa. Bahati mbaya Chacha akaugua malaria kali sana na kwa siku mbili hakuweza kula. Hatimaye siku ya tatu mama mkwe aliingia kwenye chumba cha mkwewe kumjulia hali akamkuta kidogo ana nafuu;  
MAMA MKWE: Vipi baba unadhani tukuletee nini?  
CHACHA: Mukiniretea uchi wa moto nitacharibu kidogo  
MAMA MKWE: (Aliondoka kwa aibu) We kidawa, mumeo naona amepona anakuhitaji upesi 

No comments:

Post a Comment