MDADA: Baby mambo? Uko
poa?
MKAKA: Poa baby vipi
ushafika kwenu?
MDADA: ndio baby lakini kuna tatizo
MKAKA: Nini tena?
MDADA: Nilipofika nikaweka simu yangu kitandani, mume wangu kaichukua si akasoma meseji zako zote, sasa kanifukuza kanambia nije kwako, baby uko nyumbani nakuja
MKAKA: Halloo, Haloo, nani mwenzangu? Hallooo, netiweki inasumbua.
MDADA: ndio baby lakini kuna tatizo
MKAKA: Nini tena?
MDADA: Nilipofika nikaweka simu yangu kitandani, mume wangu kaichukua si akasoma meseji zako zote, sasa kanifukuza kanambia nije kwako, baby uko nyumbani nakuja
MKAKA: Halloo, Haloo, nani mwenzangu? Hallooo, netiweki inasumbua.
No comments:
Post a Comment