MKAKA: Sista naomba namba
yako ya simu
MDADA: Huwa sitoi namba yangu kwa wanaume hovyohovyo
MKAKA: Mie shoga usiogope
MDADA: Haya namba yangu 0718......................
MKAKA: Hahahhaha asante ila nilikudanganya mie sio shoga
MDADA: Na mie nimekudanganya hiyo namba ni ya bwanangu
MDADA: Huwa sitoi namba yangu kwa wanaume hovyohovyo
MKAKA: Mie shoga usiogope
MDADA: Haya namba yangu 0718......................
MKAKA: Hahahhaha asante ila nilikudanganya mie sio shoga
MDADA: Na mie nimekudanganya hiyo namba ni ya bwanangu
MKAKA: nini?
No comments:
Post a Comment