mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Thursday, November 20, 2014

KAMUULIZE MKEO



Mshkaji mmoja alikuwa anaendesha gari katikati ya mjini,akakutana na bango kubwa (tangazo) lililoandikwa ‘Nunua mafuta ya gari yako na pata wa kulala na umtakaye kwa siku bure.’
Mshkaji kwa kiwewe akakata kulia na kwenda katika kituo cha mafuta alichoelekezwa. Baada ya kujaza mafuta akamuuliza mhudumu kuhusu kulala na amtakaye bure bila kuchelewa akapewa rundo la tiketi na kutaka achague moja. Kwa hasira akachagua 3.
Mhudumu: Umekosa, jaribu tena siku nyingine.
Kwa muda wa mwezi mzima jamaa akawa anapitia katika kituo hicho cha mafuta na kujaribu bahati yake bila kufanikiwa.
Mshkaji: Nyie matapeli sana, mwezi huu kila siku nimekuwa nikija kujaza mafuta katika kituo hiki, lakini sijafanikiwa kupata wa kulala naye bure... inaelekea nyie ni wasanii tu!
Mhudumu: Wala sisi sio wasanii, inategemea na bahati ya mtu, kama huamini nenda kamuulize mkeo maana yeye mwezi huu tu ameshashinda mara Kumi na mbili..!!

No comments:

Post a Comment