mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Thursday, November 06, 2014

MH..! SI USEME TU MZEE KAMA UNAPENDA MADEMU.

Wazee walikuwa wakifundishwa hesabu katika darasa la Elimu ya Watu wazima.
MWALIMU: Mzee Joni, 20 gawanya kwa tano ni ngapi?
MZEE JONI: Mwalimu hilo swali gumu sana MWALIMU: Haya kwa mfano mngekuwa mko watu watano halafu mkagawana machungwa ishirini kila mtu angepata mangapi?
MZEE JONI: Hapo ndio umenichanganya kabisaaa
MWALIMU: Ikiwa mko wanaume watano, halafu kuna wanawake 20, mkigawana kila mtu atapata wangapi?
MZEE JONI: Hapo mwalimu lazima nipate wanne. Yaani wanawake wanne wangu hapo
MWALIMU: Mh..! si useme tu mzee kama unapenda mademu.

No comments:

Post a Comment