Boy mmoja kamtext girl wake
BOY: baby upo wapi muda huu?
GIRL: niko home Nacheck movie
BOY :mimi naumwa baby
GIRL:jamani Hubby wangu nini tatzo? Napanda daladala sasa hivi nije kukuona?
BOY: najisikia kichwa kinauma, mwili hauna nguvu, nakohoa damu, masikio
na pua pia zinatoka damu, macho na ngozi navyo vinatoka damu nahisi ni
Ebola fanya haraka uje unipeleke hospitali
GIRL:(kimya kwa dk 20)
BOY: baby hali inazidi kuwa mbaya njoo
GIRL :(kimya tena kwa dk 40)
BOY: nilikuwa nakutania njoo uchukue hile IPHONE 5 uliyokuwa unaipenda
GIRL : ooooh baby nakuja nilikuwa pia nakutania?!
BOy: shenz* mkubwa wewe gold digger nisikuone kwangu umesikia simu unakuja mbona Ebola ulikausha kujibu
No comments:
Post a Comment