mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Friday, November 28, 2014

UMEZAWADIWA NENDA NAYO TU NYUMBANI

EBOLA ni tishio!...Mgonjwa mmoja wa ebola alipanda madhabahuni kumshukuru Mungu kwa kuwa AMEPONA Baada ya kumaliza alimrudishia MAIKI mchungaji: Mchungaji akamwambia mpe mzee wa kanisa,Mzee wa kanisa akamwambia mpe kiongozi wa ibada,Kiongozi wa ibada akasema mimi sihusiki na mambo ya ushuhuda mpe katibu. ASKOFU akaona ni usumbufu wa hali ya juu,akamwambia hiyo MAIKI umezawadiwa nenda nayo tu nyumbani!

No comments:

Post a Comment