mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Thursday, November 20, 2014

UNASEMAJE WE MZEE..!



Mzee: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa
Mfamasia: Kitu gani?
Mzee akatoa kichupa na kijiko akachanganya na majimaji yaliyomo kwenye kichupa na kumwambia mfamasia aonje. Mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja;
Mzee: Nipe jibu!! Ina utamu wa sukari, chumvi au pilipili?
Mfamasia: Kama chumvichumvi.
Mzee: Hakuna sukari.
Mfamasia: Sukari hakuna kabisa?
Mzee: Loh!! Asante sana, chukua hii elfu tano nashukuru sana. Dokta alinambia nipime mkojo wangu kama nina kisukari, kumbe sina asante bwana mdogo umenisaidia sana.
Mfamasia:unasemaje we mzee..!


No comments:

Post a Comment