mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Wednesday, December 24, 2014

YUKO CHINI YA MAGUNIA


Jamaa alikuwa anapita kijijini akakuta ajali, akakuta Trekta lililokuwa limepakia magunia ya mahindi lilikuwa limepinduka na kuna kijana alikuwa anajaribu kuyasogeza magunia kutoka katikati ya barabara, akiwa amechoka kabisa
JAMAA: Pole bwana, si ungepumzika kidogo

KIJANA: Hapana baba hawezi kufurahi

JAMAA: Huyo baba yako pia ni binadamu, hebu pumzika unywe maji kidogo

KIJANA: Baba hawezi kufurahi kabisaa

JAMAA: Acha hizo huyo baba yako kwani anadhani we mtumwa? Hebu yuko wapi nizungumze nae

KIJANA: Yuko chini ya magunia.

No comments:

Post a Comment