Na kama akishindwa kukutibu angekurudishia laki yako nakukuongeza laki nyingine.
Basi MCHAGA akaona hii fursa yakujipatia hela akaenda kutibiwa.
MPOGORO: unaumwa nini?
MCHAGA: Sisikii ladha mdomoni kabisa..
MPOGORO: Nesi naomba kikopo no.27 mpe anywe huyu.
MCHAGA: Puh puu puu uu si mkojo huu?
MPOGORO: Umepona karibu tena.
Kesho yake mchaga akarudi tena hakuamini ameliwa pesa yake.
MCHAGA: Nina tatizo la kumbukumbu nasahau sana.
MHAYA: nesi naomba kikopo no.27
MCHAGA: ASA CHALII ANGU HICHO SI CHA JANA (MKOJO)
MPOGORO: UMEPONA KUMBUKUMBU UNAYO
MPOGORO: unaumwa nini?
MCHAGA: Sisikii ladha mdomoni kabisa..
MPOGORO: Nesi naomba kikopo no.27 mpe anywe huyu.
MCHAGA: Puh puu puu uu si mkojo huu?
MPOGORO: Umepona karibu tena.
Kesho yake mchaga akarudi tena hakuamini ameliwa pesa yake.
MCHAGA: Nina tatizo la kumbukumbu nasahau sana.
MHAYA: nesi naomba kikopo no.27
MCHAGA: ASA CHALII ANGU HICHO SI CHA JANA (MKOJO)
MPOGORO: UMEPONA KUMBUKUMBU UNAYO
No comments:
Post a Comment