mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Thursday, January 15, 2015

ENHE..! DUME?



Dogo mzaliwa wa Dar siku moja akaenda likizo kijijini kwa babu yake. Siku hiyo babu kaamka asubuhi kamkuta dogo na glasi ya maziwa anainywa taratibu.

BABU: Umenunua wapi maziwa?

DOGO: Kwanini ninunue babu? Nimeenda kumkamua ng’ombe wako yule mweusi mimi mwenyewe

BABU: Lakini Dogo mbona yule ng’ombe ni dume?
DOGO: enhe dume?

No comments:

Post a Comment