mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Saturday, January 31, 2015

NATAKA UNIKATE HII MIKONO


MGONJWA: Dokta kuna ndoto inanijia kila usiku naomba msaada wako
DOKTA: Unaota nini?

MGONJWA: Dokta naota mademu masupastaa wote wa bongo wanapigania kunibaka, mi napigana nao nawatandika mangumi mpaka wanakimbia wote

DOKTA: Sasa watakaje ndugu yangu

MGONJWA:  Nataka unikate hii mikono.

No comments:

Post a Comment