mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Sunday, February 08, 2015

BABA LEO NIMEKUWA MJANJA WA MJINI



 ZUZU: Baba leo nimekuwa mjanja, sikupanda daladala, nikawa nalifukuza tu toka shule  mpaka nimefika
 hapa kwa hiyo mfukoni nina shilingi mia hamsini

BABA ZUZU: Pambaf zako..! ungekuwa na akili si' ungefukuza taxi saa hizi ungekuwa na shilingi elfu kumi.

No comments:

Post a Comment