mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Sunday, February 08, 2015

DAH..! UMENIWEZA KWELI KWELI



Kuna jamaa alikuwa anapenda sana kuwazingua wadada sasa siku akakutana na kiboko yake mambo yakawa hivi;
Jamaa: hellow mambo..!
Dada: safi vipi?
Jamaa: samahani nakuomba kidogo nina shida na wewe Dada: hapana nina haraka sana.
Jamaa: si' ungeenda toka jana?
Dada: hata hivyo naenda kwa ajili ya kesho
Jamaa: dah..! umeniweza kweli kweli.

No comments:

Post a Comment