mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Sunday, August 21, 2016

MATUSI YANATOKA WAPI JAMANI?


Mhudumu analeta supu huku kidole gumba kimo ndani ya bakuli.
MTEJA: Mbona unaweka dole lako ndani ya supu yangu? 
MHUDUMU: Dokta kaniambia kidonda kiwe na joto saa zote ndo kitapona.
MTEJA: (kwa hasira) : si uwe unakichomeka matakoni kwako?. 
MHUDUMU: Ndio huwa naweka nikiwa jikoni.
MTEJA: ahaa kumamamae!! kunywa mwenyewe msenge nini.
MHUDUMU: Matusi yanatoka wapi jamani? kunywa bwana mbona hata jana ulikunywa tu na hujafa.

No comments:

Post a Comment