mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Sunday, March 01, 2015

FUNGUO ZA GARI



MUUMINI  alikuwa ndio kanunua gari jipya, akaenda kanisani kwake kutoa ushuhuda, kuwa maombi ya pale kanisani yamemuwezesha kupata gari jipya. Mchungaji akamwambia apige magoti amuombee. Ghafla mchungaji akaanza kuongea kwa lugha za ajabu, shekalobabakushalishikashakalakasamakalolo  na kutafsiri kuwa ameonyeshwa na Mungu kuwa apewe funguo za gari lile kama sadaka. Muumini akamuahidi Mchungaji kuwa atatimiza hilo bila pingamizi. Akarudi kwake na kuchukua funguo za spea na kumkabidhi Mchungaji , ye huyooo akaondoka na gari.

No comments:

Post a Comment