mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Monday, January 06, 2014

AHA..! MUHUDUMU WEEE..!

 Mhudumu analeta supu huku kidole gumba kimo ndani ya bakuli. MTEJA; mbona unaweka dole lako ndani ya supu? MHUDUMU: dokta kaniambia kidonda kiwe na joto saa zote ndiyo kitapona. MTEJA; (kwa hasira) si uwe unakichomeka matakoni kwako? MHUDUMU; " huwa nakichomeka nikiwa jikoni. MTEJA; mpumbav mkubwa we" na hii supu kunywa mwenyewe.

No comments:

Post a Comment