mambo

mambo

WEKA

WEKA

SULUM

SULUM

Pages

Sunday, January 05, 2014

KAMA WEWE UTAFANYAJE?

Vuta picha umelala mida kama alfajiri hivi... Usingizi ule wa kukesha jana yake, halafu kuna mtu anakuja kukugongea mlangon kwa fujo sana kwenye mida ya kama saa moja moja hivi. Ile unaamka na hasira zako kwenda kumfungulia unajikwaa kidole cha mwisho cha mguu katika kona ya kitanda ile ndiiii..kugeuka unaparamia ndoo za maji yanamwagika kwenye sakafu. unafika mlangoni na maumivu ya kidole na uchovu jumlisha hasira unakutana na jamaa anakwambia "nasajili line za simu" halafu anakutolea meno kwa tabasamu... Eti pozi la biashara, je mtu kama huyo utamfanyaje?
..

No comments:

Post a Comment